Nafasi Ya Matangazo

June 12, 2008

Waziri wa Fedha Mustapha Mkulo leo anakazi ngumu ya kusoma bajeti ya serikali ya mwaka 2008/2009 katika kikao cha tatu cha Bunge katika Mkutano wa 12 unaondelea mjini Dodoma. Je Bajeti hiyo itamlinda mlalahoi?.
Posted by MROKI On Thursday, June 12, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo