Nafasi Ya Matangazo

June 14, 2008

Mnara mpya unaojengwa na Mamlaka ya Ustawishaji wa Mji wa Dodoma na Vodacom uliopo katika makutano ya Jamatini mjini hapa. Mnara huu iwapo utakamilika utakuwa ni manara wa aina yake kwa ukanda wa afrika Mashariki.
Posted by MROKI On Saturday, June 14, 2008 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo