Nafasi Ya Matangazo

May 31, 2015

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, amnabe pia ni Mbunge Bunda mkoani Mara, Steven Masato Wasira leo ametangaza rasmi nia yake ya kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu utakaofanyikia baadae mwaka huu.

Wasira ametangaza siku moja baada ya Kada wa CCM na Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa kulitika jiji la Arusha wakati akitangaza nia kama hiyo.

Miongoni mwa makada wa CCM ambao wanatarajiwa kutangaza nia kama ya Lowassa na Wassira ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Mchemba atakae tangaza nia hiyo baade leo, Charles Makongoro Nyerere, Lazaro Nyalandu, Bernard Membe, na makada wengine wengi wa chama hicho wametajwa kuwania nafasi hiyo.

Wasira akitangaz nia hiyo hii leo katika Ukumbi wa BOT jijini Mwanza amesema yeye kauli mbiu yake ni Uadilifu.
Posted by MROKI On Sunday, May 31, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo