Nafasi Ya Matangazo

April 02, 2013


Madimbwi ya maji yakiwa yamezungunga baadhi ya nyumba na barabara za mitaa katika Maeneo ya Kiwalani jijini Dar es Salaam. Hii ni kutyokana na eneo hilo kukosa miundombuni madhubuti ya kuweza kusafirisha maji yote ya mvua yanayotuama katika maeneo hayo jambo ambalo linaweza kusababisha magonjwa ya milipuko hasa Kuharisha.

Serikali haina budi kushirikiana na wakazi wa eneo hilo ili kuweza kukabiliana na hali hiyo mapema kabla madhara zaidi hayatokea na kutupiana lawama.
 Hapa ni katika kisima cha kuchotea maji safi Kiwalani lakini nacho kimezungukwa na madimbwi ya maji.
 Huku ndio kwetu Kiwalani
 Maisha yanaendelea nasisi tupo Jijini Dar es Salaam
 Kidogo hapa wa,mepanga viroba kwaajili ya kuvukia.
Posted by MROKI On Tuesday, April 02, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo