Nafasi Ya Matangazo

November 03, 2012

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akifuatilia maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Irene Isaka (Hayupo Pichani) alipokuwa akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi Mhe. Andrew Chenge pamoja na Waziri wa Kazi na ajira Mhe. Gaudensia Kabaka
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Irene Isaka akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Dkt. Emmanuel Humba akitoa maelezo kuhusu huduma za Mfuko Taifa wa Bima ya Afya kwa Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Pius Msekwa Dodoma 
 Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Dkt. Agrey Mlimuka akiwasilisha mada kuhusu huduma za Hifadhi ya Jamii Nchini kwa Waheshimiwa Wabunge 
Wadau kutoka Mifuko ya Jamii wakifuatilia mada hizo
Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Sara Msika akishiriki semina hiyo
Waheshimiwa wabunge wakifuatilia mada katika semina hiyo
Posted by MROKI On Saturday, November 03, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo