Mbunifu Maarufu wa Mavazi ,Mustafa Hassanali akiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Mwamnvita Makamba (kulia) na Mwanamitindo aliyeonesha moja ya Mavazi ya Hassanali ambaye gauni alilovaa liliuzwa kwa mnada na kununuliwa na Bi Mwanvita kwa USD 1000 na fedha hizo zinaenda kuchangia Hospitali ya Wagonjwa wa akili Zanzibar.
Mdau kutoka PSI nae alikuwepo ukukmbini na zana. PSI ilidhamini pia onesho hilo la mavazi pamoja na Vodacom.
Mdau kutoka PSI nae alikuwepo ukukmbini na zana. PSI ilidhamini pia onesho hilo la mavazi pamoja na Vodacom.
Ni meza ya DAR-BAGAMOYO ambayo nayo ilikuwepo katika shoo hiyo na asilimia flani ya mauzo ya kitabu hiki yanaenda kuchangia Hospitali hiyo ya wagonjwa wa akili Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment