Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo Bw. Seith Kamuhanda akiongea na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo leo jijini Dar es salaam. Pamoja na mambo mengine Bw. Seith Kamuhanda ametoa wito kwa watumishi wa umma kuepuka ubaguzi na upendeleo katika utoaji wa huduma.
July 30, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment