Nafasi Ya Matangazo

July 14, 2009

Wakazi wa Ubungo Maziwa wakiwa na mabango yao wakitoa kilio kwa Waziri wa Nishati na Madini juu ya hatmayao katika enheo hilo lililozungwa na mitambo hatari ya gesi na umeme jana. Ngeleja alikuwa akizindua mtambo mpya wa PanAfrikan Enegy wa kusindika Gesi Asilia itakayo tumika katika magari nchini.
Ngeleja akijibu kero hizo kwa wakazi wa Ubungo Maziwa.
Posted by MROKI On Tuesday, July 14, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo