Father Kidevu

Karibu!

KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.


 
August 10, 2008
Shaggy aipagawisha Dar tamasha la ZAIN
Mwanamuziki kutoka Jamaica, Orville Richard Burrell 'Shaggy' akitumbuiza maelfu ya mashabiki waliojitokeza katika tamasha la Zain kwenye viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya mashabiki waliojitokeza hoteli ya Kilimanjaro Kempinski, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki wakimpiga picha mwanamuziki kutoka Jamaica, Orville Richard Burrell 'Shaggy'.
Baadhi ya mashabiki waliojitokeza katika viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki katika tamasha la Zain lililopambwa na mwanamuziki kutoka Jamaica, Orville Richard Burrell 'Shaggy'
 
© FATHER KIDEVU Tarehe: 8/10/2008 | Permalink |


Maoni: 0


 

Idadi ya watu