Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akizungumza na wananchi jijini Tanga (hawapo pichani) alipowasili katika Uwanja wa Tangamano, kwa ajili ya kukagua shughuli za wajasiriamali walionufaika na mikopo ya asilimia 10 pamoja na kuwakabidhi hundi za mikopo wajasiriamali hao.
Baadhi ya wananchi wa jiji la Tanga wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe (hayupo pichani) akizungumza na wananchi jijini Tanga, alipowasili katika Uwanja wa Tangamano kwa ajili ya kukagua shughuli za wajasiriamali walionufaika na mikopo ya asilimia 10 pamoja na kuwakabidhi hundi za mikopo wajasiriamali hao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja na wajasiriamali aliowakabidhi hundi ya mikopo ya asilimia 10, mara baada ya kukagua shughuli za wajasiriamali hao walionufaika na mikopo ya asilimia 10 mkoani Tanga.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe kuzungumza na wananchi (hawapo pichani) jijini Tanga katika Uwanja wa Tangamano.
Sehemu ya wananchi wakisikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian (hayupo pichani) wakati akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe kuzungumza na wananchi katika Uwanja wa Tangamano jijini Tanga.
Baadhi ya wananchi wa jiji la Tanga wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe (hayupo pichani) akizungumza na wananchi jijini Tanga, alipowasili katika Uwanja wa Tangamano kwa ajili ya kukagua shughuli za wajasiriamali walionufaika na mikopo ya asilimia 10 pamoja na kuwakabidhi hundi za mikopo wajasiriamali hao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe akiwa katika picha ya pamoja na wajasiriamali aliowakabidhi hundi ya mikopo ya asilimia 10, mara baada ya kukagua shughuli za wajasiriamali hao walionufaika na mikopo ya asilimia 10 mkoani Tanga.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe kuzungumza na wananchi (hawapo pichani) jijini Tanga katika Uwanja wa Tangamano.
Sehemu ya wananchi wakisikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian (hayupo pichani) wakati akitoa neno la utangulizi kabla ya kumkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe kuzungumza na wananchi katika Uwanja wa Tangamano jijini Tanga.
***********
Na James Mwanamyoto - TangaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekabidhi hundi yenye thamani ya Bilioni 2.761 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu vilivyonufaika na mkopo wa asilimia 10, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hasan aliyoitoa kwa wananchi kuwa ataitekeleza ndani ya siku 100 za uongozi wake.








0 comments:
Post a Comment