Afisa Maliasili kutoka Wilaya ya Busega, Bi. Jesca Mathias akizungumza kuhusu taratibu za malipo ya kifuta jasho/machozi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Shigela leo Oktoba 6, 2025 ambapo timu ya wataalam kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, TAWA na Maafisa Wanyamapori wa Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya uhifadhi Mkoani Simiyu.Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Shigela wakifuatilia mada mbalimbali kuhusu uhifadhi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Shigela leo Oktoba 6, 2025 ambapo timu ya wataalam kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, TAWA na Maafisa Wanyamapori wa Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya uhifadhi Mkoani Simiyu.
Afisa Uhifadhi kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Bw. Lusato Masinde akifafanua kuhusu tabia za mnyamapori fisi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Shigela leo Oktoba 6, 2025 ambapo timu ya wataalam kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, TAWA na Maafisa Wanyamapori wa Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya uhifadhi Mkoani Simiyu.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Shigela wakifuatilia mada mbalimbali kuhusu uhifadhi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Shigela leo Oktoba 6, 2025 ambapo timu ya wataalam kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, TAWA na Maafisa Wanyamapori wa Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya uhifadhi Mkoani Simiyu.
Afisa Wanyamapori Mkuu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, Nassoro Wawa akitoa elimu ya uhifadhi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Shigela leo Oktoba 6, 2025 ambapo timu ya wataalam kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, TAWA na Maafisa Wanyamapori wa Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya uhifadhi Mkoani Simiyu.Afisa Uhifadhi kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Bw. Lusato Masinde akifafanua kuhusu tabia za mnyamapori fisi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Shigela leo Oktoba 6, 2025 ambapo timu ya wataalam kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii, TAWA na Maafisa Wanyamapori wa Halmashauri inaendelea kutoa elimu ya uhifadhi Mkoani Simiyu.
*************
Na Mwandishi Wetu- SimiyuWananchi wa Kijiji cha Shigela Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya fisi wanaovamia makazi ya watu.









0 comments:
Post a Comment