Nafasi Ya Matangazo

August 30, 2025

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kilosa katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Morogoro tarehe 30 Agosti, 2025.
Sehemu ya wananchi wa Kilosa waliohudhuria mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Morogoro tarehe 30 Agosti, 2025.
Sehemu ya wananchi wa Kilosa waliohudhuria mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Morogoro tarehe 30 Agosti, 2025.










Posted by MROKI On Saturday, August 30, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo