Nafasi Ya Matangazo

April 05, 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg. Stephen Wasira akizungumza na Viongozi na Wajumbe wa Mkutano Mkuu  leo April 05, 2025 katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam
Mbunge wa Jimbo la Ilala Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu  akizungumza na Viongozi  wa CCM leo April 05, 2025 akiwasilisha  taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg. Stephen Wasira akiteta jambo  na Mwenyekiti wa CCM Moka wa Dar eś Salaam Ndg. Abasi Mtemvu leo April 05, 2025 katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila akizungumza na Viongozi  wa CCM leo April 05, 2025 katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam

wajumbe wa mkutano Mkuu jimbo la Ilala wakifuatilia Mkutano huo

Viongozi na wajumbe wa mkutano Mkuu jimbo la Ilala wakifuatilia Mkutano huo
Posted by MROKI On Saturday, April 05, 2025 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo