Nafasi Ya Matangazo

October 15, 2024

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa akishuhudia mchezo kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) na Timu ya Taifa ya Congo wa kuwania nafasi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025.

Viongozi wengine wanaoshuhudia mchezo unaochezwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Naibu Waziri Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma.


Posted by MROKI On Tuesday, October 15, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo