Nafasi Ya Matangazo

September 17, 2024


Naibu Waziri Nishati,  Mhe. Judith Kapinga leo Septemba 17, 2024 amefungua kikao kazi cha Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Jijini Mwanza.

Lengo la kikao hicho ni kufanya tathmini ya utendaji wa Menejimenti ya TPDC na kupanga mikakati mipya.












Posted by MROKI On Tuesday, September 17, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo