Nafasi Ya Matangazo

March 19, 2024

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto  Biteko leo anashiriki Sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo jipya la Mafinga, Ndg. Vincent Cosmas Mwagala.

Sherehe zinafanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu jimboni Mafinga, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.

Jimbo hilo jipya la Mafinga limezaliwa kutoka Jimbo la Iringa.




Posted by MROKI On Tuesday, March 19, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo