Nafasi Ya Matangazo

February 06, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Abdul-Razaq Badru (pichani) kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Kabla ya uteuzi huu Badru alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( HESLB)
 

Posted by MROKI On Tuesday, February 06, 2024 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo