Nafasi Ya Matangazo

August 02, 2021

🔴TANZIA: Mbunge wa Ushetu na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Elias John Kwandikwa amefariki Dunia Jijini Dar Es salaam leo Agosti 2,2021 alipokuwa akipatiwa matibabu. 

Katibu wa Mbunge huyo, Julius Lugobi amethibitisha kutokea kwa msiba huo. 

Tutawaletea taarifa zaidi juu ya msiba huu mzito. 

 

Posted by MROKI On Monday, August 02, 2021 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo