Mbunge wa Jimbo la chalinze, Ridhiwan Kikwete akizungumza na wananchi wa Miono, Chalinze Mkoani Pwani leo Agosti 6,2021 katikamuendelezo wa ziara yake katika Tarafa ya Miono kwa kufanya mikutano na Wananchi kuzungumza maendeleo ya maeneo yao na Kuhimiza umuhimu wa kujitokeza kupata Chanjo ya UVIKO 19 kwa wananchi.
August 06, 2021
Subscribe to:
Post Comments (Atom)












0 comments:
Post a Comment