Nafasi Ya Matangazo

March 07, 2016

Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group Raberto Jarrin, akiongea na  wanawake   wafanyakazi wa TBL  Group wakati wa kongamano la kuadhimisha  siku ya wanawake duniani lililofanyika katika ofisi za makao makuu ya kampuni jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Masoko wa TBL Group ,Kushilla Thomas  akiongea na wanawake wenzake wakati wa kongamano hilo ka kuadhimisha  siku ya wanawake duniani.
Meneja wa kuendeleza  Vipaji wa TBL Group  ,Lilian Makau akitoa mada
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa TBL Group, Georgia Mutagahywa, (kushoto) akiongea na wanawake wenzake katika kongamano hilo la kuelimishana masuala mbalimbali ya kukabiliana na changamoto zinazorudisha nyuma maendeleo ya akina mama.
Rais wa VICOBA Tanzania, Devotha  Likokola  (kushoto) akivikwa ua kwa kutambua mchango wake wa kupigania kuinua akina mama kiuchumi.
Baadhi ya akina mama waliohudhuria kongamano hilo wakifuatilia mijadala mbalimbali
Akina mama kutoka TBL Group wakifuatilia matukio wakati wa kongamano
Baada ya kongamano kulikuwepo na burudani za kusherehekea Siku ya Wanawake ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group hakubaki nyuma kusherehekea siku hii  pamoja na wafanyakazi wa kampuni yake ambapo aliamua kucheza muziki kufurahi pamoja nao.
Mwanamuziki mahiri  wa bendi ya Dorika ,King Movo akitoa burudani baada ya kongamano hilo
Akina mama kutoka TBL Group wakifuatilia matukio wakati wa kongamano
Posted by MROKI On Monday, March 07, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo