Nafasi Ya Matangazo

February 29, 2016

 Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group  Roberto Jarrin ( wa pili kushoto)  akiwa na Maofisa waandamizi wa kampuni hiyo waliposhiriki  mbio za kilomita 5  za mashindano ya riadha ya Kilimanjaro Marathon zilizofanyika mjini Moshi mwishoni mwa wiki.Bia ya  Kilimanjaro inayotengenezwa na kampuni hiyo  ndio ilikuwa mdhamini mkuu wa mashindano hayo
 Wafanyakazi wa TBL Group  wakiwa kwenye mbio

 Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group  Roberto Jarrin ( aliyenyoosha mkono) akijadiliana jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Nnauye  muda mfupi kabla ya kuanza mashindano hayo. 
 Waziri Nape Nnauye akisikiliza risala muda mfupi kabla ya kutangazwa washindi wa mashindano hayo
Wazari wa  Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Nnauye ( kushoto) akibadilishana mawazo na  Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group  Roberto Jarrin baada ya kumalizika mashindano ya Kilimanjaro Marathon mwishoni mwa wiki.
Posted by MROKI On Monday, February 29, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo