Nafasi Ya Matangazo

September 14, 2015

 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimiana na mgombea udiwani wa Ukawa kata ya Tingi wilaya ya Nyasa, Bosco Mapunda alipowasili katika kijiji cha Tingi mkoani Ruvuma kwa ajili ya mkutano wa kampeni kijijini hapo. (Picha na Francis Dande)
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimiana na baadhi ya madiwani wa Ukawa wa Kata ya Tingi alipowasili katika kijiji cha Tingi mkoani Ruvuma kwa ajili ya mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Nyasa.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimiana na mgombea ubunge kupitia viti maalum, Anna Diwu.
 Wananchi wa kijijicha Tingi mkoani Ruvuma wakifuatilia mkutano wa kampeni.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwa amembeba motto Tedy wa kijiji cha  Tingi mkoani Ruvuma wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kijiji hapo.
  Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimia na wananchi wa kijiji cha Tingi katika jimbo la Nyasa wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mkoani Ruvuma. 
  Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimia na wananchi wa kijiji cha Tingi katika jimbo la Nyasa wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mkoani Ruvuma.
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akiwatambulisha madiwani wa Ukawa wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Tingi jimbo la Nyasa mkoani Ruvuma.
  Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akisalimia na wananchi wa kijiji cha Tingi katika jimbo la Nyasa wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mkoani Ruvuma.
Posted by MROKI On Monday, September 14, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo