Nafasi Ya Matangazo

July 16, 2015

 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akichukua fomu ya kuwania jimbo hilo kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Othuman Salum Shesha  jijini Dar es Salaam.
  Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Athuman Salum Shesha akikabidhi fomu kwa mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy.
  Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akiwa na wapambe waliomsindikiza kuchukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kinondoni.

Posted by MROKI On Thursday, July 16, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo