Nafasi Ya Matangazo

June 23, 2014


Lori la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T142BJM na tela lenye namba za usajili  T111ALD  likiwa limepinduka baada ya kuvunja daraja la muda lililopo barabara ya Kinyerezi Dar es Salaam usiku wa kuamkia jana. Mtu mmoja alifariki papo hapo na wengine sita kujeruhiwa katika ajali hiyo ambayo ilisababishwa na dereva aliyelazimisha kupitisha lori hilo lenye uzizito wa zaidi ya tani 20 katika daraja la tani saba.Lori hili bado lipo eneo la tukio.
Posted by MROKI On Monday, June 23, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo