Nafasi Ya Matangazo

September 26, 2013

Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa (kushoto) akipokea mfano wa vocha ya kuchukulia saruji mifuko 300 kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Saruji cha Twiga, Pascol Lesoinne (kulia)Dar es Salaam jana kwaajili ya ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) linalojengwa katika shule ya Msingi Buhangija mkoani Shinyanga. Wengine pichani ni Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania, Albert  Makoye na Meneja Mahusiano ya Jamii wa Twiga Cement, Natasha Dsouza. Ujenzi wa Bweni hilo ni mradi wa Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred ambao upo mbioni kukamilika.
Posted by MROKI On Thursday, September 26, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo