Nafasi Ya Matangazo

July 22, 2013

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) pamoja na Viongozi na wananchi na  waumini wa Dini ya Kiislamu wa Chokocho jimbo la Mkanyageni Mkoa wa  Kusini Pemba,wakijumuika katika chakula cha futari aliyoiandaa katika  Kijiji hicho jana
 Baadhi ya Wananchi na waumini wa Dini ya Kiislamu wa  Chokocho Jimbo la Mkanyageni Mkoa wa Kusini Pemba wakiwa katika chakula cha futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika viwanja vya Skuli ya Chokocho jana.
 Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein,(katikati)  akijumuika na Wanawake wa Chokocho Jimbo la Mkanyageni Mkoa wa Kusini  Pemba, katika futari aliyowaalika viwanja vya Skuli ya Chokocho  jana.(kushoto) Mkuu wa wilaya ya Chake chake Mwanajuma Majid
 Baadhi ya akina mama wa Chokocho Jimbo la Mkanyageni Mkoa  wa Kusini Pemba, wakiwa katika chakula cha Futari katika Mwezi mtukufu  wa Ramadhan,iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza  la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa Skuli ya  Chokocho Pemba jana.
Ustadh Yussuf Ali, akitoa neon la shukurani kwa niaba  ya Wananchi na Waislamu wa Chokocho Jimbo la Mkanyageni jana,mbele ya  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali  Mohamed Shein,baada ya futari aliyowaandalia katika viwanja vya Skuli  ya Chokocho jana.
Posted by MROKI On Monday, July 22, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo