
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza kwenye hafla
ya CTI usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya Serena Inn jijini Dar es
salaam ambapo wanachama wa taasisi hiyo waliofanya vyema walizawadiwa
vikombe

Meza
ya Serengeti Breweries katika hafla ya CTI usiku wa kuamkia leo katika
hoteli ya Serena Inn jijini Dar es salaam ambapo wanachama wa taasisi
hiyo waliofanya vyema walizawadiwa vikombe na Rais Jakaya Mrisho Kikwete

Meza ya TBL katika hafla ya CTI usiku wa kuamkia leo katika hoteli ya Serena Inn jijini Dar es salaam

Wadau katika hafla hiyo

Bosi wa Tanzania Distilleries David Mgwassa na mai waifu wake

Tanzania Distilleries

Wageni

Wadau katika hafla.Picha zaidi Bofya Hapa
0 comments:
Post a Comment