Nafasi Ya Matangazo

May 05, 2012

 Hii ni moja ya Hoteli kalzilizopo Mtaa wa Rufiji Jijini Mwanza, ni JAWITA HOTEL ni nzuri kwa kweli na panavutia
 Hoteli hii nayo ipo mtaa huu na ina  SUMAI nayo ni nzuri
 Huu ndio Mtaa wa RUFIJI jijini Mwanza na unamajengo ya Hoteli ya Ukweli
Hii ni Hoteli lakini bado haijaisha Ujenzi wake kwa mujibu wa Wenyeji wa nadai ni Mali ya Waziri fulani hivi aliyetemwa jana  katika Baraza Jipya.
Posted by MROKI On Saturday, May 05, 2012 1 comment

1 comment:

  1. AnonymousMay 09, 2012

    Majengo yote hayo ya hoteli, car park ziko wapi? Je miuundo mbinu kama umeme na maji pamoja na mabomba ya maji machafu yanaweza kumudu ongezeko la majengo hayo??

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo