Nafasi Ya Matangazo

May 05, 2012

 Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Diamond akiingia kituo cha kulea watoto yatima kiitwacho Maunga Center kilichopo karibu na kituo cha polisi cha Hananasif, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kwenda kutoa msaada wa vyakula. Ambapo kituo hicho kina watoto wapatao 40.
Diamond akiwa amembeba mmoja ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho.
Umati wa watu pamoja na watoto walioungana kumshuhudia Diamond. 
Picha zaidi gonga Hapa HABARI NA MATUKIO
Posted by MROKI On Saturday, May 05, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo