Nafasi Ya Matangazo

March 09, 2012



Katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi jimbo la Arumeru Mashariki, Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa kambi rasmi bungeni, atalihutubia taifa kesho.

Hotuba hiyo itarushwa LIVE na STAR TV, RADIO SUNRISE na RADIO JM.

Katika siku ya uzinduzi wa kampeni.

Watanzania wote wanaombwa kutazama Star tv kusikiliza hotuba hiyo yenye mustakabali wa Taifa letu.

Posted by MROKI On Friday, March 09, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo