Nafasi Ya Matangazo

July 13, 2011

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NBC, Lawrence Mafuru akimkabidhi  Bi. Anna Leon Mushi tuzo ya ‘Mkurugenzi Mtendaji’ katika hafla ya kila  mwaka ambayo benki hiyo ilikabidhi tuzo mbalimbali kwa wafanyakazi  wake bora maarufu kama ‘Heshima Awards’ jijini Dar es Salaam hivi  karibuni.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya NBC  wakiwa katika picha ya  pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Lawrence Mafuru (wa sita  kushoto mstari wa nyuma) katika hafla ya kila mwaka ambayo benki hiyo  hukabidhi tuzo mbalimbali kwa wafanyakazi wake bora maarufu kama  ‘Heshima Awards’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Posted by MROKI On Wednesday, July 13, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo