Nafasi Ya Matangazo

May 09, 2011

Mshiriki wa BBA 6 Mwanadada wa Kitanzania Lotus akipata kifugua kinywa kwaa kipande cha mkate ndani ya jumba la BBA. Watanzania wakati wa kupiga kura ukifika tujitokeze kwa wingi kupiga kura ili Washiriki wetu Bokhe na Lotus wabaki katika jumba hilo. Lotus alikuwa ni mfanyakzi wa EATV ya jijini Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Monday, May 09, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo