Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kikabidhiwa na Mauwa na Mkurugenzi wa Utawala katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Immaculata Ngwale baada ya kuwasili kwenye Viwanja vya Ofisi ya Waziri Mkuu na kupokelewa na wafanyakazi wa Ofisi hiyo, Novemba 22, 2010.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es saalaam Novemba 22, 2010 kuanza kazi. Wapili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa TACADS, Dk. Fatma Mrisho.
0 comments:
Post a Comment