Miss tanzania 2010 Genevieve Emmanuel akipokelewa na mdogo wake leo baada ya kurejea katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam leo akitokea Sanya China alipokuwa akishiriki shindano la Miss Woerd. Hata hivyo mrembo huyo wa Tanzania hakubahatika kufanya vyema katika mashindano hayo.
Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga (kushoto) , baba wa Miss Tanzania 2010 Emmanuel Mpangala wakimpokea Miss Tanzania uwanja wa Ndege leo.




0 comments:
Post a Comment