Nafasi Ya Matangazo

October 21, 2010

 Mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini kupitia chama cha mapinduzi CCM, Lazaro Nyalandu,akisalimiana na wanafunzi wa kijiji cha minyaa,baada ya baada ya kuwasili kwaajili ya kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu
 Lazaro Nyalandu,akisalimiana na wananchi wa kijiji cha minyaa,baada ya baada ya kuwasili kwaajili ya kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
 Mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini kupitia chama cha mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu,akipokea kibuyu kutoka kwa wazee wa kijiji cha Kinyagini,baada ya kuwasili kwaajili ya kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Mgombea ubunge jimbo la Singida Kaskazini kupitia chama cha mapinduzi CCM Lazaro Nyalandu,akizungumza na wananchi wa kijiji cha Minyaa,kwenye kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Posted by MROKI On Thursday, October 21, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo