Nafasi Ya Matangazo

August 07, 2010

Afisa Habari Mwandamizi wa Kitengo cha Habari Elimu na Mawasiliano wa Ofisi ya Waziri Mkuu akitoa maelezo kwa wanafunzi kutoka Shule ya Sekondari Viwandani ya Mkoani Dodoma walipotembelea banda la hilo katika wa maonesho ya NaneNane ya NaneNane Mkoani Dodoma.
Raymond Kaseko wa Idara ya Bunge na Siasa ya Ofisi ya Waziri Mkuu akitoa ufafanuzi juu ya shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Idara hiyo kwa wananchi walipotembelea Banda hilo wakati wa maonesho.
Posted by MROKI On Saturday, August 07, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo