Mtandao wa Wanasayansi Vijana Duniani Tawi laTanzania (YES) (Young Earth Scientists Tanzania Chapter) leo jijini Dar es salaam wamekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia kuhusu jinsi ya maandalizi ya kufanyika Jumuiko la kwanza la kisayansi la wanasayansi Vijana nchini Tanzania la siku mbili kuanzai julai 23-24,2010 katika ukumbi wq NSSF Water Front. Mkutano huo utakuwa sambamba na uzunduaji rasmi wa mtandao, tovuti pamoja na jarida la mtandao.
July 22, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment