Nafasi Ya Matangazo

June 14, 2010

Herieth Kagemulo akimvisha pete George Muchunguzi katika Kanisa Katoliki Kawe jijini Dar es Salaam juzi. Bwaba harusi ni Msanifu Kurasa wa Magazeti ya Mwananchi.
Jamani hati zeti za kuishi pamoja bila buguza mmeziona...!!! George na Herieth wakishika glasi zao za mvinyo kwaajili ya kupongezana na kutakiana heri.
(Picha na MD Digital -0755373999 & 0717002303)
Posted by MROKI On Monday, June 14, 2010 1 comment

1 comment:

  1. AnonymousJune 15, 2010

    Jamani nimeipenda kweli hii harusi, wamependeza and they are both very natural!!

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo