Nafasi Ya Matangazo

April 13, 2010

Watendaji wakuu wa Kampuni ya simu ya Zain, kutoka kushoto, Meneja Masoko Constatine Magavila, Mkurugenzi wa Masoko Ahsan Syed, Mkurugenzi Mkuu Khaled Muhtadi, Ofisa Biashara Mkuu Chirayi Walingo na Mkurugenzi wa Mtandao Thiery Dussanova wakionyesha mabango yanayoonesha gharama za malipo ya shilingi moja kwa sekunde baada ya kuzindua rasmi promosheni hiyo ambayo inaitwa 'Uhuru wa Kuongea', jana Dar es Salaam.
Posted by MROKI On Tuesday, April 13, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo