Nafasi Ya Matangazo

April 01, 2010

Mabadiliko ya teknolojia ya Ukamataji Panya. Hii si mikanda ya Kandambili bali ni mitego ya Panya.
Muuzaji Bwana Paul Damiani akipanga biashara hiyo chini eneo la manzi Mmoja Dar es Salaam leo.
Damian akitoa maelekezo ya namana ya kutumia Mtego huo...
Anasema unaupaka mchuzi tu wa Nyama, dagaa au samaki kisha unaufunga sehemu yeyote ambayo ni njia ya Panya nao wakiuona tu wataula na wakila wananasa hapo hapo na kuwakuta asubuhi wewe utawapiga rungu na kuwatupa. Kesho yake uoshe na upake tena mchuzi hadi panya waishe nyumbani kwako.
Posted by MROKI On Thursday, April 01, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo