Mwenegoha aliwahi kugombea tena nafasi hiyo mwaka 2005 ambapo alishika nafasi ya kwanza kwa kupata kura za maoni 285 kati ya kura 547 zilizopigwa na jina lake kukatwa katika halmashauri kuu ya CCM Taifa, na kushindwa kugombea nafasi ya Ubunge.
April 01, 2010
Mwenegoha aliwahi kugombea tena nafasi hiyo mwaka 2005 ambapo alishika nafasi ya kwanza kwa kupata kura za maoni 285 kati ya kura 547 zilizopigwa na jina lake kukatwa katika halmashauri kuu ya CCM Taifa, na kushindwa kugombea nafasi ya Ubunge.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






Anafurukuta arudi tena juu. Ndio tatizo la kuwa kwenye limelight kwa muda mrefu. Ukitoka ni vigumu kuishi maisha ya kawaida. Bado mtu utakuwa unajiona mkubwa tuuu na watu wanaogopa kukuajiri. Mimi naona angefanya mambo mengine tu badala ya kung'ang'ania madaraka. Kutoka kweye dini na kuingia kwenye mashindano ya kisiasa ni dalili kwamba huyu ni mtu anayependa madaraka, kwa udi na uvumba!!
ReplyDelete