Nafasi Ya Matangazo

April 30, 2010

Mdau Lucy akiangalia vitabu katika banda la World Books Limited katika maonesho ya Vyuo vya Elimu ya Juu ya liyomalizaka jana Diamond Jubelee Dar es Salaam. Ah! mdau kanikumbusha ya Mzumbe miaka hiyo.
Kijana wa Mlimani TV "Elimu Kwanza" akitoamaelezo kwa vijana wanaopenda kusomea Uandishi.
Vyo vya Afrika Mashariki vilikuwepo
IMTU walipima hadi afya za watu
SUA walinivutia na ndizi hizi..

Posted by MROKI On Friday, April 30, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo