Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Evance Balama (katikati) akizungumza na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Songas Richard Chap (kushoto) baada ya kuzindua vyumba 6 vya madarasa vilivyojengwa na kampuni hiyo jana. Kulia ni Meya wa manipaa ya Ilala Abouu Jumaa.Jengo lililo na madarasa sita ya kisasa lililojengwa na kampuni ya Songas.wanafunzi wakishangilia kukabidhiwa kwa madarasa. Mwalimu Joyce Ibrahimu akiwaaimbisha watoto nyimbo ya shule.
0 comments:
Post a Comment