Nafasi Ya Matangazo

March 26, 2010


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mwanaidi Majaar wakipata maelezo kuhusu ujenzi wa nyumba za kuuza kutoka Miranda Lutege,Meneja uhusiano wa Benki ya Biahara ya Afrika( CBA)muda mfupi kabla Waziri Membe hajafungua mkutano wa pili wa Diaspora hapa London leo.
Posted by MROKI On Friday, March 26, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo