Nafasi Ya Matangazo

March 14, 2010


Rais wa Chama cha upinzani nchini Uganda cha Forum for Democratic Change (FDC), Kanali Msataafu Dk. Kizza Besigye, akizungumza na vyombo vya habari, mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano wa wakuu wa vyama vya kidemokrasia vya Afrika, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Kilimanjaro Kempiski, Dar es Salaam jana. Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe.Washiriki wa mkutano wa wakuu wa vyama vya kidemokrasia vya Afrika, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano huo, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoeteli ya Kilimanjaro Kempiski, Dar es Salaam jana, ambao mwenyeji wa wake ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Posted by MROKI On Sunday, March 14, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo