Nafasi Ya Matangazo

March 14, 2010

Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo juu ya mambo mbalimbali ya hali ya kisiasa na maendeleo ya nchi katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010. Sumaye pia alikabidhi hundi ya shilingi milioni 5 kwaajili ya Jukwaa la wahariri Tanzania.
Waandishi waliohudhuria mkutano huo Dar es Salaam leo.
Posted by MROKI On Sunday, March 14, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo