Meneja Huduma za Jamii wa Zain, Tunu Kavishe (kulia) akizungumza wakati wa mkukabidhi eneo la biashara mama mzazi wa mtoto Juma Hassan "ZAIN" Bi.Shakila Ally ambaye alikuwa mtoto wa kwanza kuzaliwa katika Hospitali ya Mwananyamala Dar es Salaam siku Zain inabadili jina kutoka Celtel Agosti 1, 2008.
Mama Zain akizungumza na waandishi wa habari baada ya kupata eneo la biashara ambalo linagharimu shilingi Milioni tatu. Amekabidhiwa Cherehani, na Simu ya kupigisha na kuuza salio la Zain kama sehemu ya mtaji wake. Vitu hivyo vyote vitamsaidia Mtoto Zain katika malezi yake.
February 03, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment