
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Enos Mfuru (katikati) akiwa na Meneja Uhusino wa NMB, Shy-Rose Banji na Meneja wa Tawi la NMB Musoma Joseph Magele wakati wa kukabidhi msaada wa madawati kwaajili ya shule za mkoani humo juzi. Madawati hayo yanathamani sha shilingi Milioni 5.

Mkuu wa mkoa akipokea madawti hayo.
0 comments:
Post a Comment