Nafasi Ya Matangazo

February 15, 2010

Marehemu Baraka Charles enzi za uhai wake. Blogu ya Watu inaungana na wana familia na waandishi wa habari mkoani Morogoro katika kipindi kigumu cha majonzi na kinatoa pole wote waliofikwa na msiba huo.

Baadhi ya Waandishi wa Habari wa mkoani Morogoro wakiweka mishumaa juu ya kaburi alimozikwa Marehemu Baraka Charles,aliyekuwa mwakilishi wa kituo cha televisheni cha Chanel Ten aliyefariki hivi karibuni na kuzikwa kujijini kwao Mima Wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma jana.
Posted by MROKI On Monday, February 15, 2010 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo