Nafasi Ya Matangazo

October 19, 2009

Habari zilizoifikia hivi punde gazeti hili tando la Jamii zinasema Meneja wa Uwanja wa Taifa (Uhuru) Dar es Salaam Charles Masanja (pichani) amefariki duniania usiku wa kuamkia leo katika tukio la ajali. Habari zinasema Masanja alifarikikatika tukio la ajali. Jana alikuwa uwanja wa Uhuru akishuhudia Simba ikiifunga JKT Ruvu 4-1.

Mungu alizae roho ya marehemu mahala pema amina. Tutaendelea kuwapa habari zaidi.


Katika Ukumbu wa Idara ya Habari Maelezo asubihi hii Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo atazungumza na waandishi juu ya kifo hicho.


Masnja (nayeruka) wakati wa uhai wake akihudhuria kozi ya Uongozi wa Viwanja vya michezo nchini China.
Posted by MROKI On Monday, October 19, 2009 2 comments

2 comments:

  1. RIP masanja, tulivyo sisi ulikuwa na ulivyo wewe tutakuwa, jina la bwana lihimidiwe, pumzika kwa amani, napata huzuni sana nikikumbuka ucheshi wako na ukarimu wako pale Tanzan Lotto. jina la bwana lihimidiwe

    ReplyDelete
  2. hakika jina la Bwana lihimidiwe. tulikupenda massanja lakini mungu kakupenda zaidi. kwa heri ya kuonana

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo